Afikishiwe IGP Sirro: Kwanini Polisi Hawajatoa "International Arrest Warrant" Kumkamata Didier Abdallah Mlawa Aliyetoroka Kifungo Cha Miaka 15?
Tanzania yetu ni nchi ya ajabu sana. Miaka kadhaa iliyopita, aliibuka Babu Ambi na kikombe chake. Maelfu kwa maelfu ya watu walimiminika huko, na inasemekana mamia ya watu walipoteza maisha yao kwa kuendekeza kikombe badala ya tiba za hospitali.
Mkasa wa Babu Ambi hauna tofauti na ule wa DECI, ambapo maelfu kwa maelfu ya Watanzania walilizwa, kisa tamaa …