Barua Ya Chahali

Share this post

Afikishiwe IGP Sirro: Kwanini Polisi Hawajatoa "International Arrest Warrant" Kumkamata Didier Abdallah Mlawa Aliyetoroka Kifungo Cha Miaka 15?

www.baruayachahali.com

Afikishiwe IGP Sirro: Kwanini Polisi Hawajatoa "International Arrest Warrant" Kumkamata Didier Abdallah Mlawa Aliyetoroka Kifungo Cha Miaka 15?

Evarist Chahali
May 6, 2021
1
Share this post

Afikishiwe IGP Sirro: Kwanini Polisi Hawajatoa "International Arrest Warrant" Kumkamata Didier Abdallah Mlawa Aliyetoroka Kifungo Cha Miaka 15?

www.baruayachahali.com
IGP Sirro Makes Changes for RPCs

Tanzania yetu ni nchi ya ajabu sana. Miaka kadhaa iliyopita, aliibuka Babu Ambi na kikombe chake. Maelfu kwa maelfu ya watu walimiminika huko, na inasemekana mamia ya watu walipoteza maisha yao kwa kuendekeza kikombe badala ya tiba za hospitali.

Mkasa wa Babu Ambi hauna tofauti na ule wa DECI, ambapo maelfu kwa maelfu ya Watanzania walilizwa, kisa tamaa …

This post is for paid subscribers

Already a paid subscriber? Sign in
Previous
Next
© 2023 Evarist Chahali
Privacy ∙ Terms ∙ Collection notice
Start WritingGet the app
Substack is the home for great writing