
Nimekutana na habari hii kutoka gazeti la Mwananchi hapo jana. Naomba niiwasilishe kama ilivyo.
Benki ya dunia imeitahadharisha Serikali ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi Mei mwaka huu.
Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika
Licha ya Serikali…

